
MADAI mazito yameibuka kuwa mchekeshaji mahiri Bongo Lucas Mhuvile ‘Joti’ ambaye siku chache zilizopita alifunga pingu za maisha, juzikati palikuwa hapatoshi kati yake na mzazi mwenzake, Melisa Bushoke wakimgombea mtoto wao, Loveness.
Kwa mujibu wa chanzo kilicho karibu na msanii huyo kilisema kuwa mtoto wao huyo ambaye anasoma shule za bweni, kwa kawaida siku za likizo huchagua sehemu ya kukaa kati ya baba na mama yake na safari hii, alikuwa ameenda kwa mzazi wake wa kiume.
“Sasa unajua huyu mama wa mtoto, mama yake mzazi (bibi wa mtoto) anaishi Afrika Kusini, alikuwa anataka mjukuu wake aende akamtembelee maana ni siku nyingi hajamuona, hivyo akaja kwa mzazi mwenzake na kumuomba amruhusu mtoto aende Sauzi, hapo ndipo ikawa shida, baba mtu akakomaa hataki mtoto wake aende kokote msimu huu wa sikukuu,” kilisema chanzo hicho na kusema suala hilo lilizua mtafaruku mkubwa.
Bonyeza Picha Hapo chini Kudownload App Ya Usiku wa Mahaba Uweze Kujiunga na Magroup ya WhatsApp Ya KIkubwa Utasoma Simulizi Tamu na Kujifunza Jinsi ya Kumridhisha Mpenzi wako Bonyeza Picha Chini au HAPA

0 Response to "Ndoa Ya Joti Matatani...Kisa Mtoto Wao Soma Hapa"
Post a Comment